A new government-owned ferry, MV Bukondo, was launched on September 16, 2025, in Ukerewe District, Mwanza Region, to enhance transport across Lake Victoria’s islands. Built at the Songoro Marine Workshop in Ilemela at a cost of nearly TZS 28 billion, the vessel is one of five ferries under construction to ease marine transport challenges. Speaking...
Category: News
Air Tanzania kurejesha safari za Ulaya baada ya kukidhi masharti ya Umoja wa Ulaya
Mashirika ya ndege yaliyoandikishwa nchini Tanzania yanatarajiwa kurejea tena kwenye safari za Ulaya baada ya kukamilisha masharti yaliyowekwa na Umoja wa Ulaya (EU). Hatua hiyo inakuja kufuatia jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na mamlaka za usafiri wa anga nchini, kuhakikisha ndege, wataalamu na mifumo ya usimamizi wa anga inakidhi viwango na taratibu za kimataifa vinavyotakiwa na EU....
Tanzania set to resume flights to Europe after meeting EU safety standards.
Airlines registered in Tanzania are expected to soon resume flights to European destinations following significant steps taken by local aviation authorities to align with European Union (EU) standards and regulations. The state-owned Air Tanzania Company Limited (ATCL) will be the first to re-establish flights to Europe a move expected to boost trade and tourism in...
Zaidi ya dola bilioni 2 zinahitajika kutekeleza Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia Afrika.
Pembezoni mwa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Afrika kuhusu Tabianchi jijini Addis Ababa, Ethiopia, viongozi na wadau mbalimbali wa nishati safi ya kupikia Afrika, ikiwemo Tanzania wamekutana kujadili mbinu na mahitaji mbalimbali ya Bara la Afrika katika kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia. Akifungua mjadala wa Mkakati...
Tanzania Targets 30% Cut in Cancer Deaths by 2030
Tanzania has set a bold target to reduce cancer deaths by 30% by 2030, as the country grapples with rising cases of non-communicable diseases. Cervical cancer is the leading killer among women, while prostate and oesophageal cancers dominate among men. Health experts cite late diagnosis, limited specialists, and costly treatment as key challenges. But with...
President Samia Honored with Top Global Water Award
President Samia Suluhu Hassan has been awarded the prestigious Presidential Global Water Changemakers Award 2025, presented by the Global Water Partnership in collaboration with the African Union. The award was officially announced on Wednesday, August 13, 2025, by Botswana’s President Duma Boko, who also chairs the award committee. It was received on President Samia’s behalf...
Samia: Make Nanenane grounds the heart of extension services
President Samia Suluhu Hassan has directed the Ministry of Agriculture and the Ministry of Livestock and Fisheries to designate John Malecela Grounds (Nanenane Grounds) in Dodoma as the national headquarters for agricultural extension services. The directive was issued on Friday during the official closing of the Nanenane Exhibition, an annual national event for farmers, livestock...
Tanzania’s President to collect nomination forms for 2025 election
Tanzania’s President Dr. Samia Suluhu Hassan, who is seeking re-election under the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), is expected to collect her presidential nomination forms tomorrow (August 9, 2025) from the Independent National Electoral Commission (INEC) in Dodoma. Her running mate, Dr. Emmanuel Nchimbi, will also collect his forms. The announcement follows INEC’s release...
Tanzania’s banking sector posts sh1.2 trillion profit in H1 2025, up 9%
Tanzania’s commercial banks recorded a combined net profit of Sh1.2 trillion in the first half of 2025, marking a 9% increase from Sh1.09 trillion posted during the same period in 2024, according to an analysis by The Citizen. The strong performance was driven by robust growth in both interest-based and non-interest income, reflecting sustained momentum...
Maoni: Zitto Kabwe na umalaya wa kisiasa
Katika Dola la Urumi ya Kale Julius Kaizari alisalitiwa na rafiki yake wa karibu sana aliyeitwa Brutus. Wakati Kaizari anachomwa visu kuuawa ndani ya Bunge la Roma, Brutus alikuwa mmoja ya waliofanya ukatili ule. Kule Burkina Faso, Blaise Compaore alishiriki kwenye kuondoa uhai wa Thomas Sankara, wawili hao wakiwa marafiki wa karibu. Walichofanya Brutus na...