Category: Tanzania

Home » Tanzania
Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.
Post

Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.

Utangulizi
Jiji la Dar es Salaam ni moja ya miji inayokua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huu unaambatana na ongezeko la idadi ya watu na matumizi ya magari. Changamoto za maegesho zimekuwa sehemu muhimu ya mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na ustawi wa mijini. Utafiti huu utachunguza athari za maegesho katika maendeleo ya kiuchumi ya jiji...

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.
Post

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kuchochea ongezeko kubwa la vipaji vya michezo nchini, hususan vya mpira wa miguu. Lengo la Serikali ni kutengeneza vipaji vingi vyenye ubora mkubwa wa kutumika hapa nchini na kwengineko duniani hasa nchi zilizoendelea kisoka barani Afrika na Ulaya. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Hamis...

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.
Post

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi William Shelukindo amesema ziara ya siku tatu ya Rais wa Guinea-Bissau Mh. Umaro Sissoco Embalo inatazamiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa watanzania kwa soko la Guinea-Bissau. Rais Embalo anatarajiwa kuwasili nchini kesho tarehe 21, Juni 2024 ambapo atapokelewa na Waziri wa...

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.
Post

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea na dhamira yake ya kuhamasisha uwekezaji nchini, kwa kuongeza kasi ya uwekaji mazingira rafiki katika sekta mbalimbali nchini. Kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Serikali imeanza kutafuta muwekezaji kwa ajili ya kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari wilayani Kilolo, Iringa. Kufuatia maelekezo ya Serikali, Bodi ya...

Government to reduce taxes on natural gas-powered gas vehicles.
Post

Government to reduce taxes on natural gas-powered gas vehicles.

The government, through the Ministry of Energy, has announced a reduction in taxes for vehicles entering the country that run on natural gas. Deputy Minister of Energy, Hon. Judith S. Kapinga, stated that the government has already initiated various programs for the use of compressed natural gas (CNG) in vehicles. So far, in collaboration with...

Shekilango: A hero lost in service to Tanzania.
Post

Shekilango: A hero lost in service to Tanzania.

It has been 44 years since Hussein Shekilango’s death. The famous Shekilango road in Sinza, Dar es Salaam, was named in his honour. It was on Sunday, May 11, 1980, when Tanzania lost its minister, Shekilango, in a plane crash in Arusha. Shekilango was the Managing Director of the National Milling Corporation (NMC) before being...

Tanzania pledges solidarity with AU for peace and security initiatives.
Post

Tanzania pledges solidarity with AU for peace and security initiatives.

Tanzania has taken the helm as chair of the Africa Union’s Peace and Security Council (AU-PSC), committing to collaborate with African nations to promote security and peace. In a statement released by the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Tanzania pledges to fulfill its leadership role during its one-month tenure, which began on...

CHADEMA KUMOTO: Vita ya Urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.
Post

CHADEMA KUMOTO: Vita ya Urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.

Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025 ⁠Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara Mei 3, 2024 Na Mwandishi Wetu Iringa Vita kubwa ya madaraka kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe imeibuka ndani ya CHADEMA na kukipasua chama...

Nini Kinaendelea CHADEMA?
Post

Nini Kinaendelea CHADEMA?

Dhana iliyozungumziwa kwa muda mrefu kwamba FREEMAN MBOWE Kalambishwa asali sasa ni dhahiri baada ya Mr. Mbowe kuanza kusambaza kiasi kikubwa cha fedha kwenye chaguzi tofauti tofauti nchi nzima ndani ya chama chake cha Chadema, kwa malengo ya kupanga safu yake ya 2025. Kilichotokea kwenye uchaguzi wa kanda ya Nyasa imeshtua wengi hasa wajumbe waliopiga...

Falsafa ya 4R yampatia Rais Samia shahada nyingine ya udaktari.
Post

Falsafa ya 4R yampatia Rais Samia shahada nyingine ya udaktari.

Baada ya India, chuo kingine kikuu kikubwa cha Uturuki chamtunuku Rais Samia shahada ya udaktari. Aprili 18, 2024 Mwandishi Wetu Zanzibar Huku wakiwa wameshika bango lenye kauli mbiu maarufu ya “Songa na Samia,” vijana wanaopiga mbizi kwa sarakasi kwenye eneo la Forodhani la Zanzibar, wametoa video yao mpya kuchambua falsafa ya 4R ya Rais Samia...