Category: News

Home » News
Tanzania Strengthens Position as Regional Energy Powerhouse with Expanded Natural Gas Exports.
Post

Tanzania Strengthens Position as Regional Energy Powerhouse with Expanded Natural Gas Exports.

Tanzania is rapidly expanding its natural gas exports to Uganda, Kenya, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Zambia through an integrated network of pipelines, LNG terminals, and Mini LNG systems. This strategic growth solidifies Tanzania’s position as a key energy supplier in East and Southern Africa. Under President Samia Suluhu’s leadership, Tanzania is emerging...

What Does President Samia’s China Visit Mean for Tanzania’s Future? Discover the Key Details
Post

What Does President Samia’s China Visit Mean for Tanzania’s Future? Discover the Key Details

President Samia Suluhu Hassan of Tanzania departed for China yesterday and arrived today for her five-day working visit, from September 2 to 6, 2024. The State House shared photos of her arrival this morning. During this visit, she will participate in the Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) Summit in Beijing. While in China, President Samia...

POLISI: “Viongozi wa CHADEMA Wanapanga Vurugu na Kushambulia Vituo vya Polisi”
Post

POLISI: “Viongozi wa CHADEMA Wanapanga Vurugu na Kushambulia Vituo vya Polisi”

Jeshi la Polisi limeibua madai mazito dhidi ya viongozi wa CHADEMA, likidai kuwa wamepanga njama za kuvuruga amani nchini kupitia vitendo vya uhalifu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Polisi, viongozi hao walifanya mkutano kwa njia ya mtandao (Zoom) ambapo walikubaliana kuhamasisha wafuasi wao kufanya maandamano ya vurugu na kushambulia ofisi mbalimbali. Taarifa hiyo inaeleza...

Clarification on Recent Arrests of Opposition Figures in Tanzania: A Call for Accurate Reporting.
Post

Clarification on Recent Arrests of Opposition Figures in Tanzania: A Call for Accurate Reporting.

Recent events in Mbeya, Tanzania, involving the arrest of BAVICHA (the youth wing of the opposition party CHADEMA) members and others reportedly gathering for what they claimed to be a major International Youth Day demonstration, have sparked confusion among the public. Some international media outlets have reported on these incidents without first seeking clarification from...

Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.
Post

Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.

Utangulizi
Jiji la Dar es Salaam ni moja ya miji inayokua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huu unaambatana na ongezeko la idadi ya watu na matumizi ya magari. Changamoto za maegesho zimekuwa sehemu muhimu ya mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na ustawi wa mijini. Utafiti huu utachunguza athari za maegesho katika maendeleo ya kiuchumi ya jiji...

Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.
Post

Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.

Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendeleza hatua ya utafiti wa uanzishwaji wa matumizi ya Sarafu za Kidijitali za Benki Kuu. Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Mh. Faustine Ndungulile, aliyeuliza Serikali ina mpango gani wa kuanza kwa matumizi ya Sarafu za Kidijitali hapa nchini, Naibu Waziri...

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.
Post

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kuchochea ongezeko kubwa la vipaji vya michezo nchini, hususan vya mpira wa miguu. Lengo la Serikali ni kutengeneza vipaji vingi vyenye ubora mkubwa wa kutumika hapa nchini na kwengineko duniani hasa nchi zilizoendelea kisoka barani Afrika na Ulaya. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Hamis...

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.
Post

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi William Shelukindo amesema ziara ya siku tatu ya Rais wa Guinea-Bissau Mh. Umaro Sissoco Embalo inatazamiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa watanzania kwa soko la Guinea-Bissau. Rais Embalo anatarajiwa kuwasili nchini kesho tarehe 21, Juni 2024 ambapo atapokelewa na Waziri wa...

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.
Post

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea na dhamira yake ya kuhamasisha uwekezaji nchini, kwa kuongeza kasi ya uwekaji mazingira rafiki katika sekta mbalimbali nchini. Kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Serikali imeanza kutafuta muwekezaji kwa ajili ya kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari wilayani Kilolo, Iringa. Kufuatia maelekezo ya Serikali, Bodi ya...