A study to establish a major gold mine in Manyara Region is expected to open up wide investment opportunities in the country. Minister for Minerals, Mr Anthony Mavunde, said he has witnessed the beginning of major gold exploration work in Manyara Region, at Bassuto Village in Bassuto Ward, Hanang District, adding that the new exploration...
Category: Tanzania
Dar es Salaam commuters welcome the return of BRT Phase Two services
Dar es Salaam. Commuters have expressed relief following the resumption of Phase Two of the Mbagala Bus Rapid Transit (BRT) service, saying the restoration of operations will ease daily travel challenges and significantly lower transport costs along the corridor. The BRT service officially resumed today, November 20, 2025, after a temporary suspension caused by damage to...
Dkt Samia: Tumeunda tume kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeunda tume ya kuchunguza yaliyotokea katika vurugu za Oktoba 29, mwaka huu ili kujua kiini cha tatizo.Ameeleza taarifa ya tume hiyo, itaiongoza Serikali kujielekeza katika mazungumzo ya kuleta maelewano na amani. Ameambatanisha hilo na kutoa pole kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa walipoteza maisha katika tukio hilo, kadhalika kuwaombea...
Waliokamatwa kwa kuhamasisha vurugu kusamehewa – Dk Samia
Rais Samia Suluhu Hassan ameielekeza Ofisi ya Mashtaka kuwafutia makosa vijana wote walioonekana kushiriki maandamano yaliyosababisha vurugu Oktoba 29, mwaka huu, kwa kufuata mkumbo, akisema baadhi yao hawakujua wanachokifanya. Amelifafanua hilo kwa kile alichoeleza, ukiangalia video za maandamano hayo, kulikuwa na vijana walioingia kuandamana kwa kufuata mkumbo na ushabiki, hawakujua wanalolifanya ndio maana ameomba ofisi...
MTIHANI WA KUWA MTOTO WA RAIS NA TUHUMA ZA MANGE DHIDI YA ABDUL.
Na Mwalimu Hamza Kejo, Mwanza, Tanzania. Historia huwa inajirudia.. Mnakumbuka enzi Kikwete tulivyoaminishwa kuwa mali zote nchini ni za mwanaye Ridhiwani? Mnakumbuka enzi za Magufuli pale Masaki tulivyoaminishwa nyumba zile mbili kampa mwanaye Jesca? Baadaye huyo huyo Mange akasema Magufuli anaishi na hazina ya nchi chumbani kwake. Kwamba hazina ya nchi nzima ikae ndani ya...
Tanzania’s Tea Sector Gains Momentum with Factory Revivals and New Investments.
East Africa’s tea industry is showing renewed momentum, with Tanzania recording rising production driven by the reopening of dormant factories, the rehabilitation of estates, and the installation of new processing facilities. According to the Tea Board of Tanzania (TBT), national production rose by more than five per cent in the 2024/25 season to 22,000 tonnes...
Tanzania-Zambia 400kV Power Line Project Reaches 58% Completion.
The Tanzania-Zambia (TAZA) 400kV power interconnector project has reached 58% completion on the Tanzanian side, marking a major milestone in efforts to strengthen regional energy integration and enhance cross-border power trade. According to the Ministry of Energy, steady progress is being made on the 616 km transmission line and associated substations spanning Iringa, Mbeya, and...
The Mtwara Development Corridor: Unlocking Southern Tanzania’s Potential.
For decades, southern Tanzania has lived with a paradox. Regions such as Mtwara, Lindi, and Ruvuma are among the most resource-rich in the country—home to cashew orchards that supply three-quarters of the national harvest, offshore gas reserves capable of transforming the energy economy, and fertile land suited for timber, sesame, and fisheries. Yet historically, they...
Farmers in Mbinga Hail Fertiliser Subsidies and Development Gains.
Farmers in Mbinga District, Ruvuma Region, have welcomed the government’s continued provision of subsidised fertiliser and other agricultural inputs, describing the programme as a lifeline that has boosted productivity, incomes, and confidence in farming as a business. Speaking ahead of CCM presidential candidate Samia Suluhu Hassan’s campaign launch in Ruvuma, the farmers said the subsidies...
Mbamba Bay Port Development Gains Momentum.
The Tanzania Ports Authority (TPA) is advancing the development of Mbamba Bay Port in Nyasa District, Ruvuma, as part of the government’s strategic investments in modernising and expanding 11 key ports across the country. The project is designed to significantly boost maritime capacity and nearly double the sector’s contribution to the national economy. The development...









