Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeunda tume ya kuchunguza yaliyotokea katika vurugu za Oktoba 29, mwaka huu ili kujua kiini cha tatizo.Ameeleza taarifa ya tume hiyo, itaiongoza Serikali kujielekeza katika mazungumzo ya kuleta maelewano na amani. Ameambatanisha hilo na kutoa pole kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa walipoteza maisha katika tukio hilo, kadhalika kuwaombea...
Category: Tanzania
Waliokamatwa kwa kuhamasisha vurugu kusamehewa – Dk Samia
Rais Samia Suluhu Hassan ameielekeza Ofisi ya Mashtaka kuwafutia makosa vijana wote walioonekana kushiriki maandamano yaliyosababisha vurugu Oktoba 29, mwaka huu, kwa kufuata mkumbo, akisema baadhi yao hawakujua wanachokifanya. Amelifafanua hilo kwa kile alichoeleza, ukiangalia video za maandamano hayo, kulikuwa na vijana walioingia kuandamana kwa kufuata mkumbo na ushabiki, hawakujua wanalolifanya ndio maana ameomba ofisi...
MTIHANI WA KUWA MTOTO WA RAIS NA TUHUMA ZA MANGE DHIDI YA ABDUL.
Na Mwalimu Hamza Kejo, Mwanza, Tanzania. Historia huwa inajirudia.. Mnakumbuka enzi Kikwete tulivyoaminishwa kuwa mali zote nchini ni za mwanaye Ridhiwani? Mnakumbuka enzi za Magufuli pale Masaki tulivyoaminishwa nyumba zile mbili kampa mwanaye Jesca? Baadaye huyo huyo Mange akasema Magufuli anaishi na hazina ya nchi chumbani kwake. Kwamba hazina ya nchi nzima ikae ndani ya...
Tanzania’s Tea Sector Gains Momentum with Factory Revivals and New Investments.
East Africa’s tea industry is showing renewed momentum, with Tanzania recording rising production driven by the reopening of dormant factories, the rehabilitation of estates, and the installation of new processing facilities. According to the Tea Board of Tanzania (TBT), national production rose by more than five per cent in the 2024/25 season to 22,000 tonnes...
Tanzania-Zambia 400kV Power Line Project Reaches 58% Completion.
The Tanzania-Zambia (TAZA) 400kV power interconnector project has reached 58% completion on the Tanzanian side, marking a major milestone in efforts to strengthen regional energy integration and enhance cross-border power trade. According to the Ministry of Energy, steady progress is being made on the 616 km transmission line and associated substations spanning Iringa, Mbeya, and...
The Mtwara Development Corridor: Unlocking Southern Tanzania’s Potential.
For decades, southern Tanzania has lived with a paradox. Regions such as Mtwara, Lindi, and Ruvuma are among the most resource-rich in the country—home to cashew orchards that supply three-quarters of the national harvest, offshore gas reserves capable of transforming the energy economy, and fertile land suited for timber, sesame, and fisheries. Yet historically, they...
Farmers in Mbinga Hail Fertiliser Subsidies and Development Gains.
Farmers in Mbinga District, Ruvuma Region, have welcomed the government’s continued provision of subsidised fertiliser and other agricultural inputs, describing the programme as a lifeline that has boosted productivity, incomes, and confidence in farming as a business. Speaking ahead of CCM presidential candidate Samia Suluhu Hassan’s campaign launch in Ruvuma, the farmers said the subsidies...
Mbamba Bay Port Development Gains Momentum.
The Tanzania Ports Authority (TPA) is advancing the development of Mbamba Bay Port in Nyasa District, Ruvuma, as part of the government’s strategic investments in modernising and expanding 11 key ports across the country. The project is designed to significantly boost maritime capacity and nearly double the sector’s contribution to the national economy. The development...
Tanzania Poised to Graduate From UN’s Least Developed Country Status.
Dodoma, Tanzania – September 20, 2025 – Tanzania has been listed by the United Nations among the countries expected to graduate from the group of Least Developed Countries (LDCs) to developing country status, following two decades of sustained economic growth, social progress, and structural transformation. The preliminary review, conducted by the United Nations Conference on...
Trump Suggests Revoking TV Licences Amid Free Speech Row
US President Donald Trump has suggested that some television networks should have their licences revoked, following a controversy over coverage of a recent political killing in Utah. Trump, speaking aboard Air Force One, criticized networks as overwhelmingly negative toward him—“97% against me”—and said their licences “should be taken away” for perceived bias. The Federal Communications...









