Tag: Afrika Mashariki

Home » Afrika Mashariki
Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.
Post

Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.

Utangulizi
Jiji la Dar es Salaam ni moja ya miji inayokua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huu unaambatana na ongezeko la idadi ya watu na matumizi ya magari. Changamoto za maegesho zimekuwa sehemu muhimu ya mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na ustawi wa mijini. Utafiti huu utachunguza athari za maegesho katika maendeleo ya kiuchumi ya jiji...

Rais wa aina hii hutokea mara chache sana katika miaka mingi – Sehemu ya Kwanza.
Post

Rais wa aina hii hutokea mara chache sana katika miaka mingi – Sehemu ya Kwanza.

RAIS WA AINA HII HUTOKEA MARA CHACHE SANA KATIKA MIAKA MINGI – SEHEMU YA KWANZA Na Ngabero Nyangwine, Mara Tanzania 1.⁠ ⁠Rais anayeingia madarakani na kuwa kama amewafungua kutoka utumwani na vitisho vya utawala na kujali misingi ya demokrasia. Ingekuwa mimi mbona mngeisoma namba na mbishi ndugu zake wangemuota kwenye kiroba Coco Beach au angepotea...