Tag: East Africa

Home » East Africa
Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.
Post

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kuchochea ongezeko kubwa la vipaji vya michezo nchini, hususan vya mpira wa miguu. Lengo la Serikali ni kutengeneza vipaji vingi vyenye ubora mkubwa wa kutumika hapa nchini na kwengineko duniani hasa nchi zilizoendelea kisoka barani Afrika na Ulaya. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Hamis...

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.
Post

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi William Shelukindo amesema ziara ya siku tatu ya Rais wa Guinea-Bissau Mh. Umaro Sissoco Embalo inatazamiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa watanzania kwa soko la Guinea-Bissau. Rais Embalo anatarajiwa kuwasili nchini kesho tarehe 21, Juni 2024 ambapo atapokelewa na Waziri wa...

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.
Post

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea na dhamira yake ya kuhamasisha uwekezaji nchini, kwa kuongeza kasi ya uwekaji mazingira rafiki katika sekta mbalimbali nchini. Kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Serikali imeanza kutafuta muwekezaji kwa ajili ya kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari wilayani Kilolo, Iringa. Kufuatia maelekezo ya Serikali, Bodi ya...

Mkataka wa Rais Samia Suluhu kuimarisha utalii nchi wajibu.
Post

Mkataka wa Rais Samia Suluhu kuimarisha utalii nchi wajibu.

Licha ya vivutio vingi duniani kukumbwa na uhaba wa wageni, Tanzania imeendelea kushuhudia ongezeko kubwa la watalii kwenye vivutio vyake mbalimbali nchini. Haya yote yamewezekana kutokana na ubunifu mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ametenga muda wake binafsi kwa ajili ya kuvitangaza vivutio vya utalii vya...

Billion 55 Paid in Debts to Civil Servants.
Post

Billion 55 Paid in Debts to Civil Servants.

Deputy Minister of State, Office of the President for Public Service and Good Governance, Hon. Ridhiwani Kikwete, responded on behalf of the government to a question posed by Hon. Issa Jumanne Mtemvu, Member of Parliament for Kibamba. The question sought information on the current amount of government debts related to leave, transfers, and post-retirement cargo...

Optimizing Tanzania’s Internet Space, Closing the Gap for a Thriving Financing Inclusion and Digital Economy.
Post

Optimizing Tanzania’s Internet Space, Closing the Gap for a Thriving Financing Inclusion and Digital Economy.

As the world thrives in the digital age, Tanzania stands at a pivotal crossroads. The internet has revolutionized economies globally, and the nation has taken crucial steps towards a digital future. Electronic financial services like mobile money have surged in popularity, driving financial inclusion to a remarkable 76%, as revealed by the recent financial service...

Shekilango: A hero lost in service to Tanzania.
Post

Shekilango: A hero lost in service to Tanzania.

It has been 44 years since Hussein Shekilango’s death. The famous Shekilango road in Sinza, Dar es Salaam, was named in his honour. It was on Sunday, May 11, 1980, when Tanzania lost its minister, Shekilango, in a plane crash in Arusha. Shekilango was the Managing Director of the National Milling Corporation (NMC) before being...