Tag: President Samia

Home » President Samia
Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia
Post

Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia

Ripoti ya Glass House Brand Trust 2025, imeonyesha kuwa Tanzania imezishinda nchi zote za Afrika Mashariki na kuwa chaguo kuu kwa Wakenya wanaotaka kuhamia nchi jirani. Utafiti huo, uliotathmini kiwango cha imani kati ya watumiaji Wakenya na taasisi mbalimbali, umeonyesha kuwa asilimia 35.25% ya waliichagua Tanzania kuliko mataifa mengine ya Afrika Mashariki, wakitaja utulivu, gharama...

Dkt Samia: Tumeunda tume kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29
Post

Dkt Samia: Tumeunda tume kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeunda tume ya kuchunguza yaliyotokea katika vurugu za Oktoba 29, mwaka huu ili kujua kiini cha tatizo.Ameeleza taarifa ya tume hiyo, itaiongoza Serikali kujielekeza katika mazungumzo ya kuleta maelewano na amani. Ameambatanisha hilo na kutoa pole kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa walipoteza maisha katika tukio hilo, kadhalika kuwaombea...

By 2050, Tanzania Could Hit U$1 Trillion GDP — If Project Delivery Works.
Post

By 2050, Tanzania Could Hit U$1 Trillion GDP — If Project Delivery Works.

By 2050, Tanzania is planning on growing its economy to an impressive U$1 trillion, transforming the nation into one of Africa’s most dynamic growth frontiers. But behind every ambitious projection lies a harder truth – sustainable growth demands systems that deliver. It is not simply about money, but about management, discipline, and governance. At the...

Farmers in Mbinga Hail Fertiliser Subsidies and Development Gains.
Post

Farmers in Mbinga Hail Fertiliser Subsidies and Development Gains.

Farmers in Mbinga District, Ruvuma Region, have welcomed the government’s continued provision of subsidised fertiliser and other agricultural inputs, describing the programme as a lifeline that has boosted productivity, incomes, and confidence in farming as a business. Speaking ahead of CCM presidential candidate Samia Suluhu Hassan’s campaign launch in Ruvuma, the farmers said the subsidies...

Dkt. Samia Suluhu atoa wito wa Amani na Utulivu Mchaguzi Mkuu 2025
Post

Dkt. Samia Suluhu atoa wito wa Amani na Utulivu Mchaguzi Mkuu 2025

Makunduchi, Unguja – Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia Watanzania kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na vimejipanga kikamilifu kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 unafanyika kwa amani na utulivu. Akizungumza jana Septemba 17, 2025 katika Kijiji cha Kajengwa, Makunduchi...

Tanzania Targets 30% Cut in Cancer Deaths by 2030
Post

Tanzania Targets 30% Cut in Cancer Deaths by 2030

Tanzania has set a bold target to reduce cancer deaths by 30% by 2030, as the country grapples with rising cases of non-communicable diseases. Cervical cancer is the leading killer among women, while prostate and oesophageal cancers dominate among men. Health experts cite late diagnosis, limited specialists, and costly treatment as key challenges. But with...

President Samia Honored with Top Global Water Award
Post

President Samia Honored with Top Global Water Award

President Samia Suluhu Hassan has been awarded the prestigious Presidential Global Water Changemakers Award 2025, presented by the Global Water Partnership in collaboration with the African Union. The award was officially announced on Wednesday, August 13, 2025, by Botswana’s President Duma Boko, who also chairs the award committee. It was received on President Samia’s behalf...

Tanzania’s banking sector posts sh1.2 trillion profit in H1 2025, up 9%
Post

Tanzania’s banking sector posts sh1.2 trillion profit in H1 2025, up 9%

Tanzania’s commercial banks recorded a combined net profit of Sh1.2 trillion in the first half of 2025, marking a 9% increase from Sh1.09 trillion posted during the same period in 2024, according to an analysis by The Citizen. The strong performance was driven by robust growth in both interest-based and non-interest income, reflecting sustained momentum...

Maoni: Zitto Kabwe na umalaya wa kisiasa
Post

Maoni: Zitto Kabwe na umalaya wa kisiasa

Katika Dola la Urumi ya Kale Julius Kaizari alisalitiwa na rafiki yake wa karibu sana aliyeitwa Brutus. Wakati Kaizari anachomwa visu kuuawa ndani ya Bunge la Roma, Brutus alikuwa mmoja ya waliofanya ukatili ule. Kule Burkina Faso, Blaise Compaore alishiriki kwenye kuondoa uhai wa Thomas Sankara, wawili hao wakiwa marafiki wa karibu. Walichofanya Brutus na...

EAC launches single customs bond to cut trade costs
Post

EAC launches single customs bond to cut trade costs

The East African Community (EAC) has launched the EACBond, a regional customs guarantee aimed at simplifying cargo movement across partner states by replacing the multiple national bonds currently required. Unveiled in Kampala, Uganda, the EACBond allows traders to use one regional bond to transport goods across borders, significantly reducing costs, delays, and capital tied up...