Tag: Samia Suluhu

Home » Samia Suluhu
Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia
Post

Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia

Ripoti ya Glass House Brand Trust 2025, imeonyesha kuwa Tanzania imezishinda nchi zote za Afrika Mashariki na kuwa chaguo kuu kwa Wakenya wanaotaka kuhamia nchi jirani. Utafiti huo, uliotathmini kiwango cha imani kati ya watumiaji Wakenya na taasisi mbalimbali, umeonyesha kuwa asilimia 35.25% ya waliichagua Tanzania kuliko mataifa mengine ya Afrika Mashariki, wakitaja utulivu, gharama...

Dkt Samia: Tumeunda tume kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29
Post

Dkt Samia: Tumeunda tume kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeunda tume ya kuchunguza yaliyotokea katika vurugu za Oktoba 29, mwaka huu ili kujua kiini cha tatizo.Ameeleza taarifa ya tume hiyo, itaiongoza Serikali kujielekeza katika mazungumzo ya kuleta maelewano na amani. Ameambatanisha hilo na kutoa pole kwa familia zilizopoteza ndugu na jamaa walipoteza maisha katika tukio hilo, kadhalika kuwaombea...

Waliokamatwa kwa kuhamasisha vurugu kusamehewa – Dk Samia
Post

Waliokamatwa kwa kuhamasisha vurugu kusamehewa – Dk Samia

Rais Samia Suluhu Hassan ameielekeza Ofisi ya Mashtaka kuwafutia makosa vijana wote walioonekana kushiriki maandamano yaliyosababisha vurugu Oktoba 29, mwaka huu, kwa kufuata mkumbo, akisema baadhi yao hawakujua wanachokifanya. Amelifafanua hilo kwa kile alichoeleza, ukiangalia video za maandamano hayo, kulikuwa na vijana walioingia kuandamana kwa kufuata mkumbo na ushabiki, hawakujua wanalolifanya ndio maana ameomba ofisi...

By 2050, Tanzania Could Hit U$1 Trillion GDP — If Project Delivery Works.
Post

By 2050, Tanzania Could Hit U$1 Trillion GDP — If Project Delivery Works.

By 2050, Tanzania is planning on growing its economy to an impressive U$1 trillion, transforming the nation into one of Africa’s most dynamic growth frontiers. But behind every ambitious projection lies a harder truth – sustainable growth demands systems that deliver. It is not simply about money, but about management, discipline, and governance. At the...

Tanzania’s Tea Sector Gains Momentum with Factory Revivals and New Investments.
Post

Tanzania’s Tea Sector Gains Momentum with Factory Revivals and New Investments.

East Africa’s tea industry is showing renewed momentum, with Tanzania recording rising production driven by the reopening of dormant factories, the rehabilitation of estates, and the installation of new processing facilities. According to the Tea Board of Tanzania (TBT), national production rose by more than five per cent in the 2024/25 season to 22,000 tonnes...

Tanzania-Zambia 400kV Power Line Project Reaches 58% Completion.
Post

Tanzania-Zambia 400kV Power Line Project Reaches 58% Completion.

The Tanzania-Zambia (TAZA) 400kV power interconnector project has reached 58% completion on the Tanzanian side, marking a major milestone in efforts to strengthen regional energy integration and enhance cross-border power trade. According to the Ministry of Energy, steady progress is being made on the 616 km transmission line and associated substations spanning Iringa, Mbeya, and...

Dkt. Samia Suluhu atoa wito wa Amani na Utulivu Mchaguzi Mkuu 2025
Post

Dkt. Samia Suluhu atoa wito wa Amani na Utulivu Mchaguzi Mkuu 2025

Makunduchi, Unguja – Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia Watanzania kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na vimejipanga kikamilifu kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 unafanyika kwa amani na utulivu. Akizungumza jana Septemba 17, 2025 katika Kijiji cha Kajengwa, Makunduchi...

Air Tanzania kurejesha safari za Ulaya baada ya kukidhi masharti ya Umoja wa Ulaya
Post

Air Tanzania kurejesha safari za Ulaya baada ya kukidhi masharti ya Umoja wa Ulaya

Mashirika ya ndege yaliyoandikishwa nchini Tanzania yanatarajiwa kurejea tena kwenye safari za Ulaya baada ya kukamilisha masharti yaliyowekwa na Umoja wa Ulaya (EU). Hatua hiyo inakuja kufuatia jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na mamlaka za usafiri wa anga nchini, kuhakikisha ndege, wataalamu na mifumo ya usimamizi wa anga inakidhi viwango na taratibu za kimataifa vinavyotakiwa na EU....

Samia: Make Nanenane grounds the heart of extension services
Post

Samia: Make Nanenane grounds the heart of extension services

President Samia Suluhu Hassan has directed the Ministry of Agriculture and the Ministry of Livestock and Fisheries to designate John Malecela Grounds (Nanenane Grounds) in Dodoma as the national headquarters for agricultural extension services. The directive was issued on Friday during the official closing of the Nanenane Exhibition, an annual national event for farmers, livestock...