Tag: Sarafu ya Kidigiti

Home » Sarafu ya Kidigiti
Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.
Post

Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.

Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendeleza hatua ya utafiti wa uanzishwaji wa matumizi ya Sarafu za Kidijitali za Benki Kuu. Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Mh. Faustine Ndungulile, aliyeuliza Serikali ina mpango gani wa kuanza kwa matumizi ya Sarafu za Kidijitali hapa nchini, Naibu Waziri...