Tag: Tanzania Diplomacy

Home » Tanzania Diplomacy
Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.
Post

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi William Shelukindo amesema ziara ya siku tatu ya Rais wa Guinea-Bissau Mh. Umaro Sissoco Embalo inatazamiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa watanzania kwa soko la Guinea-Bissau. Rais Embalo anatarajiwa kuwasili nchini kesho tarehe 21, Juni 2024 ambapo atapokelewa na Waziri wa...