Tag: Tanzania

Home » Tanzania
Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.
Post

Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.

Utangulizi
Jiji la Dar es Salaam ni moja ya miji inayokua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huu unaambatana na ongezeko la idadi ya watu na matumizi ya magari. Changamoto za maegesho zimekuwa sehemu muhimu ya mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na ustawi wa mijini. Utafiti huu utachunguza athari za maegesho katika maendeleo ya kiuchumi ya jiji...

Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.
Post

Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.

Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendeleza hatua ya utafiti wa uanzishwaji wa matumizi ya Sarafu za Kidijitali za Benki Kuu. Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Mh. Faustine Ndungulile, aliyeuliza Serikali ina mpango gani wa kuanza kwa matumizi ya Sarafu za Kidijitali hapa nchini, Naibu Waziri...

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.
Post

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kuchochea ongezeko kubwa la vipaji vya michezo nchini, hususan vya mpira wa miguu. Lengo la Serikali ni kutengeneza vipaji vingi vyenye ubora mkubwa wa kutumika hapa nchini na kwengineko duniani hasa nchi zilizoendelea kisoka barani Afrika na Ulaya. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Hamis...

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.
Post

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi William Shelukindo amesema ziara ya siku tatu ya Rais wa Guinea-Bissau Mh. Umaro Sissoco Embalo inatazamiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa watanzania kwa soko la Guinea-Bissau. Rais Embalo anatarajiwa kuwasili nchini kesho tarehe 21, Juni 2024 ambapo atapokelewa na Waziri wa...

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.
Post

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea na dhamira yake ya kuhamasisha uwekezaji nchini, kwa kuongeza kasi ya uwekaji mazingira rafiki katika sekta mbalimbali nchini. Kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Serikali imeanza kutafuta muwekezaji kwa ajili ya kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari wilayani Kilolo, Iringa. Kufuatia maelekezo ya Serikali, Bodi ya...

Mkataka wa Rais Samia Suluhu kuimarisha utalii nchi wajibu.
Post

Mkataka wa Rais Samia Suluhu kuimarisha utalii nchi wajibu.

Licha ya vivutio vingi duniani kukumbwa na uhaba wa wageni, Tanzania imeendelea kushuhudia ongezeko kubwa la watalii kwenye vivutio vyake mbalimbali nchini. Haya yote yamewezekana kutokana na ubunifu mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye ametenga muda wake binafsi kwa ajili ya kuvitangaza vivutio vya utalii vya...

Billion 55 Paid in Debts to Civil Servants.
Post

Billion 55 Paid in Debts to Civil Servants.

Deputy Minister of State, Office of the President for Public Service and Good Governance, Hon. Ridhiwani Kikwete, responded on behalf of the government to a question posed by Hon. Issa Jumanne Mtemvu, Member of Parliament for Kibamba. The question sought information on the current amount of government debts related to leave, transfers, and post-retirement cargo...

Ambassador Togolani denies Tanzania signing South Korean loan and giving away part of the sea.
Post

Ambassador Togolani denies Tanzania signing South Korean loan and giving away part of the sea.

The Tanzanian Ambassador to South Korea, Togolani Mavura, said Tanzania has not signed any agreement with the Republic of Korea involving the Tanzanian Sea or Minerals during President Samia Suluhu’s visit to Korea. Ambassador Mavura said during the visit that started on May 31, 2024, the President witnessed the signing of only one agreement, which...

Rais wa aina hii hutokea mara chache sana katika miaka mingi – Sehemu ya Kwanza.
Post

Rais wa aina hii hutokea mara chache sana katika miaka mingi – Sehemu ya Kwanza.

RAIS WA AINA HII HUTOKEA MARA CHACHE SANA KATIKA MIAKA MINGI – SEHEMU YA KWANZA Na Ngabero Nyangwine, Mara Tanzania 1.⁠ ⁠Rais anayeingia madarakani na kuwa kama amewafungua kutoka utumwani na vitisho vya utawala na kujali misingi ya demokrasia. Ingekuwa mimi mbona mngeisoma namba na mbishi ndugu zake wangemuota kwenye kiroba Coco Beach au angepotea...