Tag: Uhaba wa Sukari Tanzania

Home » Uhaba wa Sukari Tanzania
Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.
Post

Silinde: Serikali ya Rais Samia Suluhu imedhamiria kumaliza tatizo la sukari nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea na dhamira yake ya kuhamasisha uwekezaji nchini, kwa kuongeza kasi ya uwekaji mazingira rafiki katika sekta mbalimbali nchini. Kupitia Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Serikali imeanza kutafuta muwekezaji kwa ajili ya kilimo cha miwa na kiwanda cha sukari wilayani Kilolo, Iringa. Kufuatia maelekezo ya Serikali, Bodi ya...