Prime Minister Kassim Majaliwa has assured Tanzanians that the government will ensure voters safety throughout the entire electoral process, including voters registration and polling day during the 2025 General Election. PM Majaliwa stressed that the government is committed to creating a secure and peaceful environment that enables citizens to fully participate in the democratic process....
Tag: CHADEMA
๐๐๐ข๐ฅ๐ ๐๐๐ข๐ง๐ ๐ ๐๐ฐ๐๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ณ๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐ค๐ฎ๐ณ๐ข๐ง๐ ๐๐ญ๐ข๐ ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฒ๐ ๐๐.
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga ameasa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wazingatie msingi mmoja wapo wa falsa ya 4R ambayo ni maridhiano. Odinga amesema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X baada ya kutembelewa na viongozi wa juu wa Chadema akiwemo Mwenyekiti Tundu Lissu. “Tulibadilishana mawazo kuhusu...
KATIKA MAZINGIRA HAYA TUNDU LISSU ANA HAKI YA KUCHANGANYIKIWA.
Fikiria umeshinda nafasi ya Mwenyekiti wa chama cha siasa chenye umri wa miaka 33. Mwanzilishi wa chama (Edwin Mtei) alikaa madarakani kama Mwenyekiti kwa miaka 6. Akaondoka, akamkabidhiti shemeji yake. Ndio! Mwenyekiti wa pili wa CHADEMA (Bob Nyanga Makani alioa dadake Edwin Mtei). Makani akakalia kiti miaka 6. Kisha akamuachia Freeman Mbowe ambaye kakalia takribani...
Clarification on Recent Arrests of Opposition Figures in Tanzania: A Call for Accurate Reporting.
Recent events in Mbeya, Tanzania, involving the arrest of BAVICHA (the youth wing of the opposition party CHADEMA) members and others reportedly gathering for what they claimed to be a major International Youth Day demonstration, have sparked confusion among the public. Some international media outlets have reported on these incidents without first seeking clarification from...
Study: Tanzania’s opposition, preaching democracy, practicing Autocracy.
A recent study commissioned by the University of Dodoma has shed light on the glaring lack of internal democracy within Tanzania’s opposition parties. Published last month, the study revealed a disheartening trend of stage-managed party elections, often designed to perpetuate the incumbent’s power. This phenomenon becomes particularly pronounced in parties where clear succession paths are...
Uchambuzi wa Kitaalam: Maandamano yanaibomoa CHADEMA kuliko kuijenga.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ni (CHADEMA), ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania chenye makao makuu yake jijini Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni. Kwa miaka mingi chama hicho kimekuwa kikifanya harakati mbalimbali zenye lengo la kuibua makosa mbalimbali yanayofanywa na chama tawala CCM, harakati hizo wanafanya kwa kuuza sera zao kwa Watanzaia kupita...
CHADEMA Protests: A Futile Endeavor?
CHADEMA, the party often referred to as the main opposition party in Tanzania, presents itself as the party with solutions to the problems facing Tanzanians, which the ruling party CCM has failed to address in over 60 years since independence. There are challenges in education, healthcare, infrastructure, water, and electricity. Despite all the efforts by...
While battling tribal and religious accusations, these are the key dates for Tanzaniaโs CHADEMA.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) was founded 32 years ago (May 1992). The founding leaders of CHADEMA include Mr Edwin Mtei, who was the Governor of the Central Bank (father-in-law to the current Chairman, Mr Freeman Mbowe), Brown Ngululupi, Dr Amani Walid Kabourou, Philemon Ndesamburo, among others. Religion and ethnicity have been a thorn...
Tarehe muhimu katika historia ya CHADEMA ikiendelea kujitetea kutokuwa chama cha kidini wala kikabila.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilianzishwa miaka 32 iliyopita yaani mwaka 1992. Viongozi waasisi wa Chadema ni pamoja na Ndugu Edwin Mtei aliyekuwa Gavana wa Banki Kuu (Baba Mkwe wake Mwenyekiti wa sasa, Bwana Freeman Mbowe), Brown Ngululupi, Dr Amani Walid Kabourou, Ndesamburo na wadau wengine. Suala la udini na ukabila limeendelea kuwa mwiba...
Chadema presents key proposals on electoral reforms to parliament.
The Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has submitted four major proposals to the Parliamentary Committee on Administration, Constitution, and Legal Affairs regarding amendments to election laws presented by the government in Dodoma in November 2023. Our correspondent reports from Dar es Salaam… (continue). The proposals were presented on January 10, 2024, by the Secretary-General...