Tag: Tanzania

Home » Tanzania » Page 8
TZS 30 Billion Set for Emergency Road Repairs
Post

TZS 30 Billion Set for Emergency Road Repairs

The government of President Samia Suluhu Hassan has allocated over 30 billion Tanzanian shillings for the rehabilitation of key roads across the country that have been damaged by ongoing heavy rains. The announcement was made by the Minister of Infrastructure, Abdallah Ulega, during an emergency visit to Morogoro Region. He visited the area following the...

๐‘๐š๐ข๐ฅ๐š ๐Ž๐๐ข๐ง๐ ๐š ๐š๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ณ๐š ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€ ๐ค๐ฎ๐ณ๐ข๐ง๐ ๐š๐ญ๐ข๐š ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฒ๐š ๐Ÿ’๐‘.
Post

๐‘๐š๐ข๐ฅ๐š ๐Ž๐๐ข๐ง๐ ๐š ๐š๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฆ๐ข๐ณ๐š ๐‚๐‡๐€๐ƒ๐„๐Œ๐€ ๐ค๐ฎ๐ณ๐ข๐ง๐ ๐š๐ญ๐ข๐š ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฒ๐š ๐Ÿ’๐‘.

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga ameasa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wazingatie msingi mmoja wapo wa falsa ya 4R ambayo ni maridhiano. Odinga amesema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X baada ya kutembelewa na viongozi wa juu wa Chadema akiwemo Mwenyekiti Tundu Lissu. “Tulibadilishana mawazo kuhusu...

Fact-Checking Erick Ombok and Fumbuka Ng’Wanakilala: The World’s Weakest Currencies in 2025.
Post

Fact-Checking Erick Ombok and Fumbuka Ng’Wanakilala: The World’s Weakest Currencies in 2025.

In global finance, strong currencies often dominate headlines, while weaker ones remain overlooked, trapped in cycles of devaluation and economic uncertainty. Understanding weak currencies is vital for travellers, investors, and businesses, as it helps in making informed foreign exchange decisions. Currency devaluation can result from multiple factors, including inflation, trade imbalances, political instability, and central...

Wanaompatia Maria Sarungi Hela Kuleta Vurugu Wafahamika.
Post

Wanaompatia Maria Sarungi Hela Kuleta Vurugu Wafahamika.

Tanzania imejulikana kama nchi yenye amani tangu ilipopata uhuru, na haijawahi kukumbwa na machafuko makubwa ya kitaifa. Ingawa kumekuwa na matukio madogo ya machafuko, serikali ya Tanzania imekuwa ikidhibiti kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha amani na usalama vinaendelea kudumu kwa wananchi wake. Licha ya juhudi hizi, kuna changamoto zinazoibuka, ambazo hazizungumzwi sana, ikiwa ni...

Clarification on Recent Arrests of Opposition Figures in Tanzania: A Call for Accurate Reporting.
Post

Clarification on Recent Arrests of Opposition Figures in Tanzania: A Call for Accurate Reporting.

Recent events in Mbeya, Tanzania, involving the arrest of BAVICHA (the youth wing of the opposition party CHADEMA) members and others reportedly gathering for what they claimed to be a major International Youth Day demonstration, have sparked confusion among the public. Some international media outlets have reported on these incidents without first seeking clarification from...

Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.
Post

Maoni & Uchambuzi: Maegesho ya magari yanavyoweza kuwa na athari kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi ya jiji la Dar es Salaam.

Utanguliziโ€จJiji la Dar es Salaam ni moja ya miji inayokua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huu unaambatana na ongezeko la idadi ya watu na matumizi ya magari. Changamoto za maegesho zimekuwa sehemu muhimu ya mijadala kuhusu maendeleo ya kiuchumi na ustawi wa mijini. Utafiti huu utachunguza athari za maegesho katika maendeleo ya kiuchumi ya jiji...

Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.
Post

Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.

Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendeleza hatua ya utafiti wa uanzishwaji wa matumizi ya Sarafu za Kidijitali za Benki Kuu. Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Mh. Faustine Ndungulile, aliyeuliza Serikali ina mpango gani wa kuanza kwa matumizi ya Sarafu za Kidijitali hapa nchini, Naibu Waziri...

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.
Post

Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kuchochea ongezeko kubwa la vipaji vya michezo nchini, hususan vya mpira wa miguu. Lengo la Serikali ni kutengeneza vipaji vingi vyenye ubora mkubwa wa kutumika hapa nchini na kwengineko duniani hasa nchi zilizoendelea kisoka barani Afrika na Ulaya. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Hamis...

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.
Post

Ziara ya Rais wa Guinea-Bissau nchini kunufaisha Tanzania na fursa za uwekezaji.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi William Shelukindo amesema ziara ya siku tatu ya Rais wa Guinea-Bissau Mh. Umaro Sissoco Embalo inatazamiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa watanzania kwa soko la Guinea-Bissau. Rais Embalo anatarajiwa kuwasili nchini kesho tarehe 21, Juni 2024 ambapo atapokelewa na Waziri wa...