Author: Mkufi Dindai (Mkufi Dindai)

Ambassador Togolani denies Tanzania signing South Korean loan and giving away part of the sea.
Post

Ambassador Togolani denies Tanzania signing South Korean loan and giving away part of the sea.

The Tanzanian Ambassador to South Korea, Togolani Mavura, said Tanzania has not signed any agreement with the Republic of Korea involving the Tanzanian Sea or Minerals during President Samia Suluhu’s visit to Korea. Ambassador Mavura said during the visit that started on May 31, 2024, the President witnessed the signing of only one agreement, which...

Rais wa aina hii hutokea mara chache sana katika miaka mingi – Sehemu ya Kwanza.
Post

Rais wa aina hii hutokea mara chache sana katika miaka mingi – Sehemu ya Kwanza.

RAIS WA AINA HII HUTOKEA MARA CHACHE SANA KATIKA MIAKA MINGI – SEHEMU YA KWANZA Na Ngabero Nyangwine, Mara Tanzania 1.⁠ ⁠Rais anayeingia madarakani na kuwa kama amewafungua kutoka utumwani na vitisho vya utawala na kujali misingi ya demokrasia. Ingekuwa mimi mbona mngeisoma namba na mbishi ndugu zake wangemuota kwenye kiroba Coco Beach au angepotea...

Optimizing Tanzania’s Internet Space, Closing the Gap for a Thriving Financing Inclusion and Digital Economy.
Post

Optimizing Tanzania’s Internet Space, Closing the Gap for a Thriving Financing Inclusion and Digital Economy.

As the world thrives in the digital age, Tanzania stands at a pivotal crossroads. The internet has revolutionized economies globally, and the nation has taken crucial steps towards a digital future. Electronic financial services like mobile money have surged in popularity, driving financial inclusion to a remarkable 76%, as revealed by the recent financial service...

Shekilango: A hero lost in service to Tanzania.
Post

Shekilango: A hero lost in service to Tanzania.

It has been 44 years since Hussein Shekilango’s death. The famous Shekilango road in Sinza, Dar es Salaam, was named in his honour. It was on Sunday, May 11, 1980, when Tanzania lost its minister, Shekilango, in a plane crash in Arusha. Shekilango was the Managing Director of the National Milling Corporation (NMC) before being...

Lissu ni Adui wa Muungano.
Post

Lissu ni Adui wa Muungano.

Utangulizi Hivi karibuni imeibuka kauli yenye ukakasi kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hassan, ni Mzanzibari ndiyo maana anagawa rasilimali za Tanganyika kwa Waarabu. Kwanza, si jambo la kubishaniwa kuwa Rais ni Mzanzibari. Ni kweli kwamba Rais wetu anatoka upande wa pili wa...

Tanzania pledges solidarity with AU for peace and security initiatives.
Post

Tanzania pledges solidarity with AU for peace and security initiatives.

Tanzania has taken the helm as chair of the Africa Union’s Peace and Security Council (AU-PSC), committing to collaborate with African nations to promote security and peace. In a statement released by the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Tanzania pledges to fulfill its leadership role during its one-month tenure, which began on...

CHADEMA KUMOTO: Vita ya Urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.
Post

CHADEMA KUMOTO: Vita ya Urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.

Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025 ⁠Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara Mei 3, 2024 Na Mwandishi Wetu Iringa Vita kubwa ya madaraka kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe imeibuka ndani ya CHADEMA na kukipasua chama...

Nini Kinaendelea CHADEMA?
Post

Nini Kinaendelea CHADEMA?

Dhana iliyozungumziwa kwa muda mrefu kwamba FREEMAN MBOWE Kalambishwa asali sasa ni dhahiri baada ya Mr. Mbowe kuanza kusambaza kiasi kikubwa cha fedha kwenye chaguzi tofauti tofauti nchi nzima ndani ya chama chake cha Chadema, kwa malengo ya kupanga safu yake ya 2025. Kilichotokea kwenye uchaguzi wa kanda ya Nyasa imeshtua wengi hasa wajumbe waliopiga...

Milking Nyamongo Claimants: A Law Firm & UK NGO Raid Under Fire.
Post

Milking Nyamongo Claimants: A Law Firm & UK NGO Raid Under Fire.

A syndicate of law firms, local opposition politicians and RAID (a UK-based NGO) are accused of syphoning millions of Pounds from hundreds of Tanzania citizens who they represented in settlement cases against mining companies from January 2015. Settlement documents seen by Taifa Daily reveal several injustices where in one case, a local Tanzania claimant received...