Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga ameasa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wazingatie msingi mmoja wapo wa falsa ya 4R ambayo ni maridhiano. Odinga amesema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X baada ya kutembelewa na viongozi wa juu wa Chadema akiwemo Mwenyekiti Tundu Lissu. “Tulibadilishana mawazo kuhusu...
Category: Politics
KATIKA MAZINGIRA HAYA TUNDU LISSU ANA HAKI YA KUCHANGANYIKIWA.
Fikiria umeshinda nafasi ya Mwenyekiti wa chama cha siasa chenye umri wa miaka 33. Mwanzilishi wa chama (Edwin Mtei) alikaa madarakani kama Mwenyekiti kwa miaka 6. Akaondoka, akamkabidhiti shemeji yake. Ndio! Mwenyekiti wa pili wa CHADEMA (Bob Nyanga Makani alioa dadake Edwin Mtei). Makani akakalia kiti miaka 6. Kisha akamuachia Freeman Mbowe ambaye kakalia takribani...
Fact-Checking Erick Ombok and Fumbuka Ng’Wanakilala: The World’s Weakest Currencies in 2025.
In global finance, strong currencies often dominate headlines, while weaker ones remain overlooked, trapped in cycles of devaluation and economic uncertainty. Understanding weak currencies is vital for travellers, investors, and businesses, as it helps in making informed foreign exchange decisions. Currency devaluation can result from multiple factors, including inflation, trade imbalances, political instability, and central...
Tanzania sees 142 percent surge in investment, attracts $3.9 billion in Q3.
The value of registered investment projects in Tanzania surged by over 142 percent in the third quarter of 2024, reaching $3.9 billion in total capital, according to the Tanzania Investment Centre (TIC). This marks a significant increase from the $1.61 billion registered in the previous quarter, from April to June 2024. TIC Executive Director, Mr...
Tanzania Strengthens Position as Regional Energy Powerhouse with Expanded Natural Gas Exports.
Tanzania is rapidly expanding its natural gas exports to Uganda, Kenya, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Zambia through an integrated network of pipelines, LNG terminals, and Mini LNG systems. This strategic growth solidifies Tanzania’s position as a key energy supplier in East and Southern Africa. Under President Samia Suluhu’s leadership, Tanzania is emerging...
What Does President Samia’s China Visit Mean for Tanzania’s Future? Discover the Key Details
President Samia Suluhu Hassan of Tanzania departed for China yesterday and arrived today for her five-day working visit, from September 2 to 6, 2024. The State House shared photos of her arrival this morning. During this visit, she will participate in the Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) Summit in Beijing. While in China, President Samia...
POLISI: “Viongozi wa CHADEMA Wanapanga Vurugu na Kushambulia Vituo vya Polisi”
Jeshi la Polisi limeibua madai mazito dhidi ya viongozi wa CHADEMA, likidai kuwa wamepanga njama za kuvuruga amani nchini kupitia vitendo vya uhalifu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Polisi, viongozi hao walifanya mkutano kwa njia ya mtandao (Zoom) ambapo walikubaliana kuhamasisha wafuasi wao kufanya maandamano ya vurugu na kushambulia ofisi mbalimbali. Taarifa hiyo inaeleza...
Clarification on Recent Arrests of Opposition Figures in Tanzania: A Call for Accurate Reporting.
Recent events in Mbeya, Tanzania, involving the arrest of BAVICHA (the youth wing of the opposition party CHADEMA) members and others reportedly gathering for what they claimed to be a major International Youth Day demonstration, have sparked confusion among the public. Some international media outlets have reported on these incidents without first seeking clarification from...
Serikali yawekeza kwenye utafiti wa matumizi ya sarafu za kidigiti.
Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendeleza hatua ya utafiti wa uanzishwaji wa matumizi ya Sarafu za Kidijitali za Benki Kuu. Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Mh. Faustine Ndungulile, aliyeuliza Serikali ina mpango gani wa kuanza kwa matumizi ya Sarafu za Kidijitali hapa nchini, Naibu Waziri...
Serikali ya Rais Samia Suluhu yazidi kuchochea undelezwaji wa vipaji nchini.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kuchochea ongezeko kubwa la vipaji vya michezo nchini, hususan vya mpira wa miguu. Lengo la Serikali ni kutengeneza vipaji vingi vyenye ubora mkubwa wa kutumika hapa nchini na kwengineko duniani hasa nchi zilizoendelea kisoka barani Afrika na Ulaya. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh. Hamis...